Search

26 results for Pelagia Daniel :

  1. Miaka 11 bila Bi Kidude

    “Yalaiti napenda pasi kifani tofauti sikutilii moyoni sikuachi leo na kesho peponi…” ni sehemu ya mashairi yaliyopo kwenye wimbo uitwao Yalaiti, wa Fatma Binti Baraka ‘Bi Kidude’.

  2. Wiki ya Abaya, Hina, Kanzu maandalizi ya Eid EL Fitri

    Baada ya takribani siku 27 za mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, mawazo ya Waislamu wengi kwa sasa yanaelekezwa kwenye sikukuu ya Eid El Fitri, inayotarajiwa kuwa kati ya Aprili 10 na 11, mwaka...

  3. Simulizi tamu, chungu za vijana wanaopambana kujiinua kiuchumi

    Ukiacha simulizi ya milima na mabonde aliyopitia Beatrice Mwalingo, mbunifu wa mavazi aliyepewa cherehani na Rais Samia Suluhu Hassan, kuna simulizi nyingi za vijana wanaopambana kujiinua...

  4. VIDEO: Nyuma ya pazia aliyepewa cherehani na Rais Samia

    Januari 25, 2024 itabaki kwenye kumbukumbu za Beatrice Mwalingo, kutokana na uthubutu alioonyesha kwenye ukurasa wa Instagram kwa kiongozi mkuu wa nchi kwa kutoa ombi lililojibiwa muda mfupi...

  5. Hakikisha unapendeza hivi siku ya Valentine

    Kiuhalisia watu hupendana kila siku japo kuna mikwaruzano ya hapa na pale na hauwezi kusema siku ya wapendao ndio ninayompenda mpenzi wangu ila Februari 14 hupewa upekee kwa watu kusherehekea...

  6. Tamu na chungu ya michoro ya Tattoo

    Napenda tattoo kwa sababu ni njia inayonifanya nijisikie vizuri, hasa ninapopitia changamoto zinazoniumiza moyo na kunikosesha amani, nikishachora huwa napata amani, na michoro yote iliyopo...

  7. Ni mshono na umbo kitenge hakina baya

    Unapozungumzia mitindo ambayo ipo kwa muda mrefu na itaendelea kuwepo huwezi kuacha kutaja kitenge. Vazi la kitenge kwa sasa linaweza kubeba utambulisho wa Afrika kwa kuwa karibu nchi nyingi za...

  8. Peach Fuzz rangi ya mwaka 2024

    Ni takribani siku 14 tangu tuanze mwaka 2024, umeshajiuliza rangi ya mwaka huu ni ipi? Kama bado wala usiumize kichwa, wataalamu wa rangi, kampuni Pantone tayari imesharahisisha hili kwa...

  9. Pekosi inaboa au inabamba?

    Pekosi ni aina ya suruali yenye muonekano unaoshika mwili kuanzia usawa wa kiuno hadi kwenye magoti, lakini kushuka chini huachia, tofauti na suruali nyingine zinazoshika mwili kuanzia juu hadi...

  10. Uvaaji vipini, hereni kwa wanaume ni fasheni?

    Wakati inaonekana ni ajabu kwa jamii zetu za Kitanzania wanaume kuvaa vipini puani na hereni, lakini katika ulimwengu wa mitindo na utandawazi imekuwa jambo la kawaida. Awali, baadhi ya jamii...

Page 1 of 3

Next